
Kamatakamata ya Viongozi wa CHADEMA
baada ya vurugu huko Kahama na Iringa imeendelea hii leo baada ya mbunge wa
Arusha mjini kamanda Godbless Lema kukamatwa na Polisi...
Hivi sasa anahojiwa na Jeshi la Polisi nitaendelea kuwajuza zaidi...
Mbunge wa Arusha Mjini aliyekua ameitwa
kituo kikuu cha Polisi Arusha mapema leo, ameachiliwa...