MBUNGE WA ARUSHA MJINI GODBLESS LEMA AKAMATWA NA POLISI....

Kamatakamata ya Viongozi wa CHADEMA baada ya vurugu huko Kahama na Iringa imeendelea hii leo baada ya mbunge wa Arusha mjini kamanda Godbless Lema kukamatwa na Polisi... Hivi sasa anahojiwa na Jeshi la Polisi nitaendelea kuwajuza zaidi... Mbunge wa Arusha Mjini aliyekua ameitwa kituo kikuu cha Polisi Arusha mapema leo, ameachiliwa...
Continue Reading...

Tuhuma za Zitto Kabwe kutoka kimapenzi na mbunge Catherine Magige ( CCM ) ni za uongo na zimepikwa kwa lengo la kumchafua....

KUNDI la watu ambao inadaiwa kwamba wamekula yamini ya kumchafua Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe kwa namna yoyote ile, wamemuonjesha machungu Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Arusha, Catherine Magige. Zitto, baada ya msululu wa tuhuma ambazo nyingi zilibainika kupikwa makusudi ili kuichafua taswira yake...
Continue Reading...

SAD:- Mzee Dude wa FUTUHI afariki dunia

  MSANII wa kundi maarufu la vichekesho na uigizaji la Futuhi, Mzee Dude amefariki dunia akiwa katika Hospitali ya Rufaa Bugando iliyopo jijini Mwanza leo jioni.. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN...
Continue Reading...

CHADEMA kususia uchaguzi mkuu wa 2015 iwapo Serikali haitaboresha Daftari la Kudumu la Wapigakura..Soma Zaidi Hapa

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa sharti ambalo kama halitatekelezwa chama hicho hakitashiriki Uchaguzi Mkuu wala hakitapiga kura ya kupitisha rasimu ya katiba.    Sharti hilo lilitolewa mjini Bukoba juzi na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, wakati akihutubia katika mkutano wa hadhara ikiwa ni mwendelezo...
Continue Reading...

PICHA:- Rose Ndauka amwanika binti yake "Naveen" hadharani....

  Rose  Ndauka ambaye ni mama anayetamba ndani  ya filamu za kibongo hivi karibuni alijifungua mtoto wa kike na kumpa jina la Naveen. Upekuzi  wa  mtandao  huu  umefanikiwa   kuinasa  picha  ya  Naveen  ikiwa  mtandaoni   kama  inavyoonekana ...
Continue Reading...

Tanzania Kuisaidia Madagascar Kuondolewa Vikwazo Ilivyowekewa Na Jumuiya Za Kimataifa... Soma Zaidi Hapa

  Rais mpya wa Madagascar Hery Rajaonarimampianina akiapishwa rasmi rais wa nchi hiyo mjini Antananarivo kufuatia ushindi mkubwa alioupata katika uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo mwezi Desemba 2013. Rais mpya wa Madagascar Hery Rajaonarimampianina akisani kiapo chake tayari kuanza kazi ya kuwatumikia wananchi...
Continue Reading...

"CHADEMA haina uwezo wa kushika Dola Kutokana na Mfumo wake wa utawala kuwa mbovu unaotokana na udikteta, udini na ukabila ".... Asema Elizabeth Minde

Chama  cha  mapinduzi  ( CCM)  manispaa  ya  Moshi  mkoani  Kilimanjaro   kimeendelea  kusisitiza  kuwa  chama  cha  demokrasia  na  maendeleo, CHADEMA   hakitaweza  kushika  dola  kutokana  na  mfumo ...
Continue Reading...

Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Asha-Rose Migiro Kwa Mara Ya Kwanza Aitembelea tume ya mabadiliko ya katiba....

Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Asha-Rose Migiro (kushoto) akipokea nakala za ripoti za Tume ya Mabadiliko ya Katiba ikiwemo Rasimu ya Katiba kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Joseph Warioba wakati wa ziara yake ya kutembelea na kuzungumza na Watendaji wa Tume hiyo aliyoifanya mwishoni mwa wiki Jijini Dar es Saalam. Mwenyekiti...
Continue Reading...

Tuhuma nzito Baraza la Mawaziri , Profesa Ibrahim Lipumba Atilia shaka elimu ya waziri wa fedha..

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amelishushia tuhuma nzito Baraza la Mawaziri, baada ya kudai baadhi ya mawaziri walioteuliwa hawana elimu ya kutosha. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Profesa Lipumba alisema mmoja wa mawaziri hao ni Waziri wa Fedha, Saada Mkuya. Alisema...
Continue Reading...

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, Akiri kwamba Serikali ilifanya uzembe katika kutatua taarifa za uchochezi zilizosababisha vurugu za Mtwara.., Soma Zaidi

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amekiri kwamba Serikali ilifanya uzembe katika kutatua taarifa za uchochezi zilizosababisha vurugu za Mtwara. Kauli hiyo aliitoa mjini Mtwara  jana alipozungumza na wananchi wa Masasi akiwa njiani kuelekea wilayani Nanyumbu kufungua mradi wa umeme. Alisema baada ya kutokea kwa uzembe huo wako...
Continue Reading...

Chadema waitaka CCM isikwamishe Katiba Mpya

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM) naSerikali yake kuacha kile alichokielezea kuwa ni hila ya kutaka kukwamisha mchakato wa Katiba Mpya. Mchakato huo sasa unaelekea katika hatua ya Bunge Maalumu la Katiba. Amesema Watanzania hawako...
Continue Reading...

Utekaji malori wasababisha maelfu kukwama Nzega

Zaidi ya magari 1,000 yamekwama kwenye Barabara Kuu ya Mwanza - Dar es Salaam katika Kijiji cha Ngonho, Kata ya Miguwa, wilayani Nzega, kutokana utekaji wa malori uliofanywa juzi usiku. Baadhi ya madereva walisema walikutwa na mkasa huo juzi saa nne usiku wakati magari yao yalipotekwa na watu wanaosadikiwa...
Continue Reading...

Bunge la Katiba Kizungumkuti,

Sheria ya Mabadiliko ya Katiba bado ina upungufu ambao utaathiri utendaji wa Bunge Maalumu, ambalo huenda likaanza Februari 11 mwaka huu, mjini Dodoma. Sheria hiyo Namba 8 ya 2011, imeishafanyiwa marekebisho mara mbili yakiwamo ya Februari 2012 na Novemba 2013, lakini mabadiliko hayo yameacha kasoro...
Continue Reading...

KIGOGO WA WEMA NOMA SANA.. AFANIKIWA KUMNASA RAFIKI WA WEMA ....

Tatoo ya Clement Mgongoni Mwa Naima Stori: Imelda Mtema NOMA sana! Baada ya kupigwa cha mbavu (kuachwa) na Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu huku akimnyang’anya vitu vyote vya ofisini, yule kigogo wa ikulu, Clement a.k.a CK, hivi sasa anadaiwa kutoka na shosti wa staa huyo, Naima Shaa. Kwa mujibu wa chanzo makini cha gazeti namba...
Continue Reading...

ASKARI MAGEREZA MBARONI KWA KUUA MFUNGWA ...

Msemaji wa Jeshi la Magereza, Kamishna Msaidizi Omary Mtiga Askari Magereza wanane, wamefikishwa mahakamani wilayani Mafia mkoani Pwani kwa tuhuma za mauaji ya mfungwa. Mbele ya Hakimu Mwandamizi Mfawidhi wa Wilaya ya Mafia, Hassan Makube, ilidaiwa kuwa, Desemba 19 mwaka jana, askari hao walimuua Basiri Makungu aliyekuwa akitumikia...
Continue Reading...

PENNY:AFUNGUKA NA KUSEMA DIAMOND KAMA CHIZICHIZI VILE...., ILA ....

MTANGAZAJI wa Runinga ya Channel Ten, Penniel Mungilwa ‘Penny’ amefunguka kuwa sifa ya aliyekuwa mpenzi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ni kama chizichizi lakini kwa undani zaidi ni mtu makini. Penny alifunguka hayo mbele ya kinasa sauti cha Ijumaa Wikienda hivi karibuni ambapo mbali na kutamka kauli hiyo, alifunguka mambo mengi yaliyohusu...
Continue Reading...

Ufoo Saro wa ITV amwaga machozi kanisani wakati akimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kumnusuru alipopigwa Risasi na mchumba wake... SOMA ZAIDI HAPA

Katika ibada hiyo iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT) Usharika wa Kibamba Jimbo la Magharibi Ufoo huku akitokwa na machozi na wakati mwingine kushindwa kuzungumza alisema "Ni miujiza tu ya Mungu yeye kunifanya mimi kuwa hai leo"   Mtangazaji huyo ambaye alilazwa kwa zaidi ya wiki mbili hospital...
Continue Reading...