MBUNGE WA ARUSHA MJINI GODBLESS LEMA AKAMATWA NA POLISI....

Kamatakamata ya Viongozi wa CHADEMA baada ya vurugu huko Kahama na Iringa imeendelea hii leo baada ya mbunge wa Arusha mjini kamanda Godbless Lema kukamatwa na Polisi...

Hivi sasa anahojiwa na Jeshi la Polisi nitaendelea kuwajuza zaidi...



Mbunge wa Arusha Mjini aliyekua ameitwa kituo kikuu cha Polisi Arusha mapema leo, ameachiliwa baada ya mahojiano ya muda mrefu na. Kamanda wa upelelezi kituoni. Hapo. Pichani Lema kwenye gari lake akitoka polisi mchana huu..

0 comments: