DAVID MOYES AVUMILIKI ACHEZEA KICHAPO CHA MBWA MWIZI TENA ...

Huyu kocha wa Man u naona amekuja na Gundu kubwa kweli .....Sasa hivi Washabiki wa Man hatuongei kabisa mbele za watu hata tukicheza na team kibonde tunawasiwasi wa kufungwa .

Yaani sijui anataka kutupeleka ilipokuwa team yake kabla ya kuja Man u....Jana tumechapwa tatu moja bana sitaki kuongelea hilo sana ila jua tulifungwa ndio tumefungwa na Etoo...

0 comments: